NYASA TOURISM FESTIVAL

NYASA TOURISM FESTIVAL

Friday 29 June 2018

KAMPENI YA KUCHANGIA UJENZI WA VYOO BORA MASHULENI

"Tukiwa kwenye kuonyesha mitindo kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa vyoo bora mashuleni kwa ajili ya watoto wa kike, hivyo niliona niwe katika mila na desturi za watu wa nyasa, hapa nikiwa nimebeba jamanda". Mhe. Eng. Stella Manyanya, Mbunge wa Nyasa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara.

No comments:

Post a Comment