NYASA TOURISM FESTIVAL

NYASA TOURISM FESTIVAL

Sunday 10 June 2018

ENG. MANYANYA AONGOZA MKUTANO WA MAWAZIRI WA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI WA AFRIKA YA MASHARIKI

Eng. Stella Manyanya Mbunge wa Jimbo la Nyasa na Naibu Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji (wa pili kulia) akiongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa Mawaziri wa Afrika Mashariki  wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji.

No comments:

Post a Comment