NYASA TOURISM FESTIVAL

NYASA TOURISM FESTIVAL

Monday 2 January 2017

TAMASHA LA UTALII WILAYA YA NYASA LAVUNJA REKODI

No automatic alt text available.
HATIMAYE tamasha la utalii la aina yake katika Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma limefanyika Mbambabay na Liuli na kuwa gumzo ndani na nje ya nchi baada ya kupata mafanikio makubwa ya kutangaza vivutio lukuki vya utalii vilivyopo katika wilaya hiyo pamoja na fursa muhimu za uwekezaji.

 Mgeni rasmi kwenye tamasha hilo alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk.Binilith Mahenge. Tamasha limeshirikisha vyombo vya Habari vya kitaifa na kimataifa lengo likiwa ni kuhakikisha wilaya ya Nyasa inafunguka katika sekta ya Utalii na uwekezaji .

Naibu Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nyasa Injinia Stella Mànyanya ndiye alikuwa mwenyeji wa tamasha hilo ambalo limeutangaza Mkoa wa Ruvuma kitaifa na kimataifa.
Image may contain: 3 people, people smiling, people standing and outdoor
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk.Binilith Mahenge (wa pili kulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tamasha hilo. Wa pili kushoto ni Mwenyeji wa Tamasha hilo, Mhandisi Stella Manyanya ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Nyasa na Naibu Waziri, Elimu, Sayansi na Teknolojia.Image may contain: 4 people, people standing, ocean, sky and outdoor
Image may contain: 5 people, people sitting and indoor
Image may contain: 1 person, outdoor
Image may contain: 1 person, shoes and outdoor
Image may contain: one or more people, people standing and outdoor
Image may contain: plant
Samaki wa mapambo Ziwa Nyasa.

No comments:

Post a Comment