NYASA TOURISM FESTIVAL

NYASA TOURISM FESTIVAL

Monday 26 December 2016

ZIARA YA NAIBU WAZIRI ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, ENG. STELLA MANYANYA VISIWANI ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar baada ya kuhitimisha zaira yake visiwani humo tarehe 20 Desemba, 2016.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya akipata vyakula vya Kizanzibari eneo la Forodhani, Zanzibar wakati wa ziara yake.

No comments:

Post a Comment