NYASA TOURISM FESTIVAL

NYASA TOURISM FESTIVAL

Thursday 29 September 2016

FUKWE ZA ZIWA NYASA ZINAONGOZA KWA UBORA

 Fukwe za ziwa Nyasa Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma zinatajwa kuongoza kwa ubora duniani.Zikiendelezwa zinaweza kufungua milango ya utalii katika Wilaya ya Nyasa na Mkoa wa Ruvuma.Hata hivyo jambo la kusitikisha ni kwamba licha ya ubora na upekee wa fukwe hizo kasi ya kuziendeleza katika viwango wa kimataifa ni ndogo.Mataifa mengi duniani hivi sasa yanatoka katika utalii wa kutegemea mbuga za wanyamapori na kuingia katika utalii wa mambo ya kale,fukwe,ngoma na utamaduni hivyo milango ya utalii mwambao mwa ziwa Nyasa ipo wazi.

No comments:

Post a Comment